karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
*🤣🤣🤣 uzuri wa mtaro🥥 ni eti ukimwaga💦 ndani kwa makosa na anze kulia unaweza ingiza kikombe☕ na uchote….🤣🤣🤣
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
😍😍😍
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
😍😍😍